Mtoto mwingine wa marehemu, Hassan Hatibu, akizungumza jambo na mtandao huu...
Ndugu na jamaa wakiwa katika mzozo huo.
KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Mohamed
Said ameingia katika mzozo mkali na ndugu zake wa upande wa mama yake
kwa kugombea maiti ya mama yake mzazi.
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari, mzozo huo umeibuka baada ya
kijana huyo kuwagomea ndugu zake kuuzika mwili wa marehemu mkoani Iringa
mpaka hapo watakapomlipa shilingi laki tatu kama gharama za matibabu ya
marehemu.
No comments:
Post a Comment