Monday, 3 November 2014

ARTHUR,MOORE NA LUIS WATOLEWA BBA HOTSHOTS

 Mwakilishi wa Rwanda aliyetolewa BBA Hotshots, Arthur....

Washiriki wa BBA Hotshots waliotolewa, Kacey Moore (aliyevaa miwani)wa Ghana na Luis wa Namibia (Kulia).
Washiriki waliobaki ndani ya jumba la Big Brother Africa imezidi kushuka tena usiku wa kuamkia leo,  washiriki wengine watatu wametolewa ndani ya jumba hilo.
Washiriki waliotoka ni Kacey Moore ambaye alikuwa anawakilisha Ghana, Luis mwakilishi wa Namibia, na Arthur mwakilishi wa Rwanda kumefanya idadi ya washiriki waliotoka mpaka sasa kufikia washiriki kumi, wanne kati yao ni wa kiume na wa kike sita.

No comments:

Post a Comment