Wednesday, 7 January 2015

WEMA, AUNT KICHEKO KABURINI KWA NGWEA

Mastaa wa Bongo, Wema Sepetu na shostito wake, Aunt Ezekiel wakiangusha kicheko katika kaburi la marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’.
Ni vigumu kutokea lakini imetokea! Wakati dunia ikisherehekea ujio wa mwaka mpya wa 2015....